Saturday, August 11, 2012

Watoto walitembelea viwanja vya Temi-Arusha

Wazazi wenye mapenzi ya kilimo hawakuwaacha watoto wao nyumbani. Waliwachukua hadi viwanja vya Temi jijini Arusha kuangalia maonyesho ya wakulima 2012 maarufu Nanenane

No comments: