Monday, June 16, 2014

Mchakato wa kufunga ndoa kati ya Bw. Rajabu na Bi Sophy Mluge

Bw.harusi na mpambe wake 

Wajombe tukishuhudia ndoa ikifungwa



Shehe akiweka taarifa sahihi za wanandoa kabla ya kufungisha ndoa ya Bw Rajabu na Bi Sophy Mluge

Mchakato wa siku ya kufunga ndoa kati ya Bw. Rajabu na Bi Sophy Mluge huko Tumbaku-Morogoro.Tarehe 14/06/2014

No comments: