Thursday, June 19, 2014

Uyoga

Uyoga chaza (Oystermushroom)
Mwaka 2003 duniani biashara ya uyoga na mazao yake iliingiza kiasi cha dola za kimarekani  bilioni 40 lakini Afrika iliambulia chini ya asilimia moja tu (kutoka kitabu cha Mwongozo wa Kilimo cha Uyoga chaza - Dkt Mshandete na wenzake 2008)

No comments: