Thursday, June 19, 2014

Hata kilimo cha bamia kina matatizo yake

Bamia ni mboga nzuri licha ya kuwa hali ya kuteleza. Watanzania wengi hupenda kula bamia hasa linapochanganywa na nyanya chungu. Lakini ili uweze kupata zao bora la bamia lazima lipate mbolea na unyevu wa kutosha  na kulikinga na magonjwa na wadudu

1 comment:

Unknown said...

Hallow Mr banzi

i need your contact please, i want you to help something about bamia