Monday, August 25, 2008

Hatukujiandaa Olimpiki

Hii ni aibu kubwa. Timu yetu ya Olimpiki inarejea mikono mitupu. Tulikuwa wasindikizaji. Umaarufu wetu umepotea kabisa. Umasikini wetu umejionyesha hata kwenye michezo. Hata siku ya ufunguzi wanamichezo wetu walijitambulisha pasi na kujiamini hata sare zao zilikuwa za ubabaishaji zilikosa mvuto. Kweli Olimpiki ya mwaka huu hatukujiandaa.

No comments: