Thursday, August 21, 2008

Ripoti kubwa majina yamo?

Nimeona kupitia luningani Mhe.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhiwa ripoti ya uchunguzi wa skandali ya EPA. Kitabu kikubwa kwa kweli na inataka umakini wa kutosha kuisoma ripoti hiyo ili kuweza kutoa maamuzi sahihi. Swali moja najiuliza, kweli ripoti kubwa kama ile inaweza kukosa majina ya mafisadi wa EPA?

No comments: