Monday, August 25, 2008

Wakulima wajipange fedha za EPA zinakuja


Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametamka kwenye hotuba yake ya hivi karibuNI wakati akilihutubia BUNGE kuwa, fedha zinazorudishwa na mafisadi wa EPA zitatumika katika kuendeleza sekta ya kilimo. Ndiyo ametamka. Je, wakulima na wafugaji wamejipanga sawa kuzipokea fedha za EPA?

No comments: