Thursday, August 21, 2008

Takwimu za wasichana wanaokatisha masomo kwa ujauzito zinatisha

Habari inayosema kuwa asilimia 40 ya wasichana katika shule za sekondari mkoani Shinyanga hukatisha masomo yao kwa kupata ujazito. Asilimia hii ni kubwa. Je, ni asilimia ngapi ambao hushindwa kimasomo na sababu nyingine? Kwa mwendo huu kweli wanawake wasomi watapatikana kutoka mkoa wa Shinyanga? Sidhani. Kwa kweli hali ni mbaya. Asilimia 40 ni picha mbaya sana hasa inapokuwa inasababishwa na sababu moja!

No comments: