Friday, August 29, 2008

Amevishwa pete ya uchumba!

Hayawi hayawi, yamekuwa. Hivi karibuni, Bw. Joseph Kamsopi Mdimi amefanya jambo kubwa katika maisha yake baada ya kumvika pete ya uchumba Bi.Flora Msechu katika hafla ya kukata na shoka iliyofanyika Mwanzo Park - Mwandege Mkoa wa Pwani. Hafla hiyo ilihudhuriwa na madada wawili, kaka na shemeji. Kamsopi anatarajia kufunga pingu za maisha tarehe 18/10/2008 jijini na Dar na sherehe za kupokea maharusi zitafanyika Afri Centre karibu kabisa na Lamada Hotel - Msimbazi

No comments: