Monday, August 25, 2008

Wakulima wajipangaje fedha za EPA zinakuja

Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametamka kwenye hotuba yake ya hivi karibu wakati akilihutubia BUNGE kuwa fedha zinazorudishwa na mafisadi wa EPA zitumike katika kuendeleza sekta ya kilimo. Ndiyo ametamka. Je, wakulima na wafugaji wamejipanga sawa kuzipokea fedha za EPA?

No comments: