Friday, October 24, 2014

Anafanya kama alivyofanya Yesu Kristo

Mbele ya wenzetu lazima tujitoe na tunyenyekee. Tukio hili hutokea siku ya Alhmisi  Kuu ya kila mwaka. Wakati Wakatoliki tunapokumbuka mateso ya Bwana Wetu Yesu Kristu. (Picha kwa hisani ya Silvester Jakka  fb)

No comments: