Saturday, October 25, 2014

Chai ya asubuhi baada ya misa ya mavuno

 
Leo asubuhi misa ya mavuno Jumuiya ya Mt. Vincent -Parokia ya Vikindu, imeadhimishwa. Baada ya misa tulipata chai ya pamoja iliyoandaliwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Ndg. Faustini Onyango.(hayupo pichani)

No comments: