Monday, October 27, 2014

Madada wasindikiza harusi kutoka Mwandege








Kikosi hiki cha madada wasindikiza harusi kutoka Mwandege, Mkuranga. Mama mwanakamati wa maandalizi ya sherehe ya harusi ya Remmy Shayo alijitolea kukileta kikundi hiki ili kipendezeshe mapokezi ya harusi hiyo iliyofanyika jana (26/10/2014). Kwa kweli walikonga nyoyo za waalikwa. Walicheza kwa furaha na walikuwa very simple! Kweli Mungu yu Mwema.

No comments: