Saturday, October 25, 2014

Mzee 'Kutapatapa' wa Parokia ya Vikindu




Mzee 'Kutapatapa' ni maarufu Parokiani Vikindu. Hufanya kazi kwenye nyumba ya Mapadri wa Shirika la Vincentian  ni mcheshi, mkarimu na mchapa kazi. Leo asubuhi aliwasaidia na kuwaelekeza madada hawa wadogo kutoka shirika la Carmel jinsi ya kubeba ngazi. Kudos! 'Kutapatapa'

No comments: