Friday, October 24, 2014

Maria - a.k.a Mc Bonge sasa ni journalist!

Maria Yuda - a.k.a MC-Bonge (Kulia) mwaka huu amehitimu rasmi mafunzo yake ya uandishi wa habari. Nimekuwa nikimsikia kwenye Tumaini Radio akisoma habari sijui wameshampa ajira huko? Hongera sana Maria- Utafika mbaliiiiii. (Picha kwa hisani ya Slivester Jakka fb)

No comments: