Friday, October 24, 2014

Matawi yametoka Vikindu

Kwa mara ya kwanza mwaka huu, parokia nyingi za jimbo kuu la Dar Es Salaam zimenunua matawi yake kutoka parokiani kwetu Vikindu. Mwaka huu Jumapili ya Matawi Parokiani Magomeni iliazimishwa na Muhashamu Baba Askofu Nzigilwa (Picha kwa hisani ya Silivester Jakka fb)

No comments: