Monday, October 27, 2014

Iko siku nao watafunga ndoa

Watoto wasindikiza maharusi wakiingia ndani ya ukumbi wa Maaskofu-Kurasini, jijini raha wakati wa sherehe ya kuwapongeza Bw & Bibi Remmy Shayo wa Vikindu, Mkuranga kwa tendo la kufunga ndoa.

No comments: