Friday, October 24, 2014

Kwaya kongwe jimboni Dar- Mashahidi wa Uganda

Hii ni moja ya kwaya kongwe kanisa katoliki jimbo Kuu la Dar Es Salaam- Ni mashahidi wa Uganda mwakani itatimiza miaka 50. Hii ndiyo kwaya iliytuimbia siku ya harusi yetu Bw & Bibi IJbanzi - aka Banzi wa Moro family. Banzi Simba na kwaya nayo Simba! AMINA (Picha kwa hisani ya Silivester Jakka fb)

No comments: