Saturday, October 25, 2014

Mtoto wa UTATU MTAKATIFU akisoma NENO

Mtoto huyu anaanza mapema kuizoea adhira (watu wengi) akikua atakuwa jasiri hataogopa kuongea mbele za watu na pia atajifunza ni kipi cha kuongea, kwa wakati gani na wapi. Wakatoliki tuwapeleke watoto wetu wajiunge na Utume wa Watoto wa Utatu Mtakatifu.

No comments: