Friday, October 24, 2014

Kanisa la Magomeni katika sura Mpya

Kanisa la Magomeni linavyoonekana sasa. Limekarabatiwa na kutoka na sura hii, kweli linapendeza. Mwaka wa kesho Parokia ya Magomeni inatimiza miaka 50 tangu ianzishwe. Kwa kuwa familia yetu imeishi Magomeni kwa muda mrefu, hii ni Parokia yangu. Hapa ndipo nilipobariki ndoa yangu mwaka 1997. TUMSIFU YESU KRISTU. AMINA (Picha kwa hisani ya Silivester Jakka fb)

No comments: