Monday, October 27, 2014

Harusi ya Remmy ilivyofana kwenye Ukumbi wa Maaskofu Kurasini-Dar








Bw & Bibi Remmy Shayo wa Vikindu- Dar Es Salaam jana tarehe 26/10/2014 walifunga ndoa kwenye Kanisa la TAG Vikindu na baadaye tafrija ya Nguvu ilifanyika ndani ya Ukumbi wa Maaskofu Kurasini. Hakukuwa na kinywaji chochote cha kilevi lakini watu walifurahi na kuserebuka kama unavyowaona pichani. Banzi wa Moro alikuwa ndani ya ukumbi.

No comments: