Monday, October 27, 2014

Ujana raha tupu!





Unamuona huyo mwenye fulana ya kijani. Kijana anapenda muziki huyo acha tu. Alitupa burudani ya aina yake jana kwenye ukumbi wa Maaskofu-Kurasini jijini Dar. Enzi zangu miaka ya 80s nilikuwa kama yeye. W-end niko Silversands Hotel na kaka yangu Lawrence Mkude nikisakata Disco la nguvu. Ah nikwambie nini ujana raha tupu!

No comments: