Saturday, October 25, 2014

Je ni kubana matumizi au ubahiri?

Ana mizigo mingi mwingine ameubeba kichwani

Alipochoka ilibidi aupakate 
Hii ni hatari. Kama safari hii ni ya Ubungo stand, kwa kweli kazi ipo. Je ni kubana matumizi? Usalama wako je?

No comments: