Monday, October 27, 2014

Ulifika wakati kwa Bw. Remmy kupeleka keki ukweni



Mara nyingi kwenye sherehe za kuwapongeza maharusi kuna tendo la kupeleka keki kwa wakwe. Hii maana yake nini hasa. Kwa ufahamu wangu ni ishara ya ukarimu na kuwa tayari kujitoa na hasa chakula. Wakwe wanahitaji kutunzwa na kuwakarimu. Tuwakarimu wakwe na ndugu na watu wengine. Pichani Bw. Remmy akikabidhi keki ukweni siku ya sherehe ya harusi yake - 26/10/2014

No comments: