| Washiriki wa mafunzo ya ununuzi wa mbegu bora za Mpunga wakiwa na wawezeshaji chuoni KATC-Moshi |
| Baadhi ya wadau waliohudhuria mafunzo ya manunuzi ya mbegu za mpunga chuoni KATC mwezi Februari 2014 |
| Wakijadiliana jinsi ya kutumia mbegu ya mpunga SARO 5 waliyoipata kwenye mafunzo. |
| Washiriki wa mafunzo wakielekea kwenye bwalo la chakula |
| Wakulima wakiwa katika majadiliano |
| Wakulima wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa muwezeshaji wa mafunzo |
| Mkulima akiwasilisha kazi ya kikundi |
| Afisa Ugani wa wilaya ya Moshi (kushoto) na mwezeshaji Mama Ruth Kamala wakelezana jambo kwenye mafunzo hayo. |
No comments:
Post a Comment