Monday, March 31, 2014

Hivi tunataka kuwamaliza hawa?

Kwa uroho wetu wa kupata utajiri wa harakaharaka kuna watu tunaowaita majangili wana mkakati wa kumaliza tembo hawa kwa lengo la kupata meno yao na kuyauza. Tulinde raslimali za taifa wakiwemo tembo. Wakiisha hawatapatikana tena.

No comments: