Wednesday, March 19, 2014

Ajali barabara ya Morogoro

Barabara ya Morogoro haikosi ajali. Pichani ni ajali ya magari tanker za mafuta iliyotokea Chalinze hivi karibuni. Moja ya sababu za ajali za mara kwa mara inasemekana ni madereva kusinzia.

No comments: