Monday, March 31, 2014

Kaburi la mjomba Dr. Gregory Paul Constance Mluge

Dr. Mluge alikuwa mwema na mpole. Profesa wa Tiba. Dr Mluge aliiacha Dunia hii akiwa anapendwa.TUTAKUPENDA daima (Tafsiri yangu) . Ni mmoja wa wasomi waliotukuka wazaliwa wa Matombo mkoani Morogoro. Alizaliwa tarehe 12 Machi 1937 na kufariki tarehe 9 Juni 2012. Amezikwa kwenye makaburi ya Kanisa lake Parokia ya Matombo alikobatizwa na kupata, komunio na Kipaimra. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. AMINA