Wednesday, March 19, 2014

Betty na Agnes akina mama Watafiti wachumi

Betty Chalamila kushoto na Agness Ndunguru ni watafiti wachumi wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika wakiwa kwenye kikao cha kazi cha kuandaa taarifa ya Followup Survey ya mradi wa EAAPP kilichofanyika mjini Morogoro mwezi Machi 2014

No comments: