Monday, March 31, 2014

Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo abariki Kanisa la Magomeni








Tarehe  01 Machi 2014 Kanisa Katoliki Parokia ya Magomeni (Mashahidi wa Uganda) Jimbo  Kuu la Dar Es Salaam lilibarikiwa na Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo Askofu wa Jimbo hilo. Kanisa hilo lilibarikiwa baada ya kufanyiwa ukarabati mzito na kupata sura mpya kama inavyoonekana pichani. Nani alijenga sasa KANISA kama siyo MIMI na WEWE. Amina.(Picha zote kwa hisani ya Slyvester Jakka)

No comments: