Monday, March 31, 2014

Dadaz wa Magomeni bado wapo

Kikundi cha sanaa maarufu kama Dadaz bado wanaendelea na shughuli za burudani. Walianza wakiwa wadogo sana sasa wameanza kuwa mamaz. Pichani wanaonekana wakitoa burudani kwenye siku ya kubariki Kanisa la Magomeni jimbo Kuu la Dar Es Salaam. (Picha kwa hisani ya Silyvester Jakka)

No comments: