Monday, March 10, 2014

Moja ya Mitaa ya Mto wa Mbu-Manyara

Huu ni mmoja wa mtaa wa Mto wa Mbu mkoani Manayara. Sehemu hii ni ya bonde. Mafuriko yanapotokea ni balaa. Lakini sehemu hii ni maarufu kwa kilimo cha Mpunga na mbogamboga. Hivi sasa kimeanza kuwa maarufu kwa watalii.

No comments: