Monday, March 10, 2014

Mfereji msafi -Mto wa Mbu

Moja ya vitu vilivyonivutia nikiwa Mto wa Mbu-Manyara ni kuona mifereji misafi sana na iliyotengenezwa kwa uimara wa hali ya juu. Nikawa nalinganisha na ile mifereji iliyopo jijini Dar Es Salaam. Loh kichefuchefu! Angalia pia jinsi sehemu ya waenda kwa migu na baiskeli ilivyotengwa.

No comments: